Vipaumbele vyetu

[ATTACH=full]177006[/ATTACH]

Haaaaaaahaaaaa

Jamaaa kapangaa ngazi aseee

Our guys has so much time to the extent of posing in of the cameras and faking life they are not living

Savimbi

hakuna watu wanafiki kama watu wanaojifanya waumini wa “ujamaa”

Mkuu umerudi kwenye siasa?

Dah hapana unajua huku ugenini kunanichanganya

Mkuu rudi tu, kizazi cha baadae kitahoji kwanini tumeruhusu kuwa na aina hii ya viongozi alafu tutakosa majibu

Umeliona tangazo? Tunarudi home muda si mrefu[ATTACH=full]177040[/ATTACH]

Leo ni siku ya3 yangu liwekwe

watoto wazuri msiwe na roho ya kutu kama baba yenu

Duu…! But wakati si milele… Na wakati hauna rivasi… Every day passed its another milestone kuelekea kumaliza kifungo

Duuuh hatar

Baba mzazi alishafariki aliyepo ni wa kufikia

Nilidhani huyo aliyewabeba ndio baba yao

Tuipende tanzania wakuu

Ni mwendo wa kuijaza dunia tu
Nalog off

Aisee jamaa nini bingwa wa kuigiza