Hi,
Wadada wa miaka ya nyuma ulikuwa ukiomba kitumbua hupewi mpaka ndoa.
Ila siku hizi yani kabla hujaomba kitumbua unapewa.
Kwanza wanaume wala hawawazi kutongoza maana mitongozo imekuwa rahisi…pesa yako tu.
Vitumbua vya wadada vimeliwa mpaka vimeingia mchanga.
Wadada acheni kugawa vitumbua
Nasubiri uliowaunguza waje
Mwifwa
4
Sijaunguza mkuu, huwa naivisha vizuri tu
vinamchanga umejuaje? acha kugeneralize mambo mkuu. wewe komaa na mkeo
Mkuu unawachokoza wataanza uchoyo
Vimekuwa vingi halafu wanaanza kuvichezea zamani so hadi kufika 20s tayari vimeshachoka, Wahuni wanasema BrakePumb.u ni bwawa na sio kisima tena
_255in
18
Kama siyo wanaume huo mchanga ungeingia kwa kusagana?
KIKAZI
19
Siku hizi wako cheap sana aise kweli tupu Ndugu.
Damper
20
Acha viwe na mchanga kwani warembo wamekuwa wengi sana kuliko zamani.
Akibana chake kitavunda kwa kukosa soko.