VIVIAN (haifugiki walai)

so sparta met this beautiful 22 yr old, vivian, ni wale warembo raised by a protective mother who works in the government office.
sasa vivian na sparta waka-anza kumess around,ku-kunywa whisky ku-vutaa kush then na buy tropical sweats na ndimu ku-dilute harufu juu kwao ni noma
mathaa ni wa church…
sasa mostly nilikuwa nakamua weeknds pekee, na kitu ilikuwa swafi
sasa mzoga sijui nini walifanyana na mama yake, akadai sparta l need a favor?

sparta…nini mbaya mrembo?
vivian…aki my mum!

sparta…your mum amefanya nini?
vivian… she is stressing me can l come to your place leo?

sparta… poa no worry
vivian… unatoka job what time?

sparta …around 8pm
vivian…ok poa utanipataa rooftop nimekuchill

sparta…ok poa see you then
vivian…thanx love …l love you

sparta… (silent) then hung up

so iyo siku sparta kufunga job, nikapataa mzoga rooftop enjoying the view, nikaenda nikafungua mlango nikaweka bag ya lapi, nikatoa manguo nikabaki na vest na boxer nikachukuwa weed yangu niKa-enda rooftop kusmoke na mrembo…
tukablaze bila wasi wasi mrembo aka-anza kurant vile mathee yake bla bla mingi hadi amezima simu… nikamshow tuingiye kwa nyumba akadai iyo breeze iko poa tukae kae kiasi…mimi nikarudi kwa keja nikatoka na glass mbili za whisky… tukaenjoy apo hadi ikafika around 9.30pm rooftop hakuna watu, sparta uyo akapewa BJ moto
vivian amewaka moto… na unajuwa sparta apana delay … kimbilia makobosto na kuchapa doggy uko rooftop… then later tukAenda kejani we took a shower pamoja,then nikapikiwa, apo apo kwa kitchen ka-quicky then after kukula nikatoa Rosto yangu yote

iyo ilikuwa siku ya kwanza, morning nikarukia MG nanikaenda job nikawacha mzoga home…simu bado iko mteja

kufika jioni nafunguliwa mlango mzoga iko na towel keja inaninukia aroma ya food na nguo zangu zote zimefuliwa na kukunjwa… nikajiona maisha LONDON

usiku nika-treatiwa poa sana kama previous nite

mzoga simu yake bado ni mteja…kazi yangu ilikuwa kuamka kukula MG kuwacha pesa za sappa nakuenda hustle, hadi maboy wanadai sparta siku izi una ngara sana na uko na furaha…hawajui nimefunga kunguru ya wenyewe

sasa ile siku sikujuwa ni kuwa mama yake anamsaka…this went on for 3 weeks ivi maisha ya sparta ilikuwa HEAVY

sasa kama kawaida on a friday nikafunga job vizuri nikaenda kubuyia mrembo night dress na DERA juu hakukuja na nguo kejani then nikabuy ka whisky na guarana za VIV
nikaelekea kejani, watchy nikaona ananisignal nikubaya kaka… atabefore niulize nini mbaya …majamaa walitokea na kunichapaa handcuffs…nauliza nini mbaya nikapewa kibare kama doggy imeingia mosque…

KIJANA WEWE NDIO UNADAGANYA WATOTO HUKU

watoto wagani mkubwa? NYAMAZA utajulia Central

sparta na bag yake na whisky na guarana kwa probox hadi central police

kufikishwa uko nikawekwa kwa karoom…nikaulizwa kama najuwa Vivian? nikasema namjuwa
nikaulizwa mbona unadaganya mtoto? unajuwa ako na miaka ngapi? nikasema ni dame wangu na ako 22 yrs
apo nikawekelewa koffi:(…sasa nikaona izi nyangau zitaniuwa

nikademand kupigia my AUNT nikawashow wacha nipigiye MAMA yangu ajuwe niko wapi? l knew l cant tell them its my aunt juu watauliza maswali za ujinga huwezi pigia mama yako!!

karao akajibu MAMA yako anajuwa unadaganya watoto!
after kama 5 minz an angry woman with dreadlocks akaingia and threw insults at sparta, wewe ndio unaharibu mtoto wangu, unajuwa ako 19 yrs OLD
how old are you apa nikajuwa nikisema miaka yangu itakuwa noma nikadai am 23

vivian nilikuwa naskia akilia uko kwa OB akisema mum he did nothing, l will kill myself
mathee akanipa warning na kidole kwa forehead

sasa karao moja akakuja akasema hii kidnapping charges wont work juu ya witness, hii kijana tunaweka yeye ndani na bhagi:(
l pleaded with the officers after uyo mathee kuenda… karao ule alinipiga makofi sikuwa natakaa kubonga nayeye, lakini nikaskia akiongea greek
nikajuwa uyu ni wamonyotaa… after much negotiating wakadai all 4 cops na driver kila mtu 5k tumalize case
mafala wanadai 25k

mimi savings nilikuwa nazo ni 15k pekee na 1600 kwa wallet

nikashow izi fala zikubali 10k zikakataa, kumbuka hawajaniandika kwa OB na inaelekea 8pm
boy wa greek akadai niongeze 3k
ikuwe 13k… mafala nawashow niko na 1600 kwa mfuko wanipelekee ATM nitoe izo zingine… mafala zinakataa

makarao ni mambwa sana…l had to call pple l respect and lie to them juu sigesema nimeshikiwa nini l was only able to raise 8k

greek cop akadai balance nisipotuma wananikujia… mafala wakachukuwa whisky na guarana nikapewa tu bag ya lapi, Dera sikuipataa pia

iyo greek cop alikuja akakuwa beste naye vivian after 2 weeks alikuja home nikapewa apology thou iyo siku sikumwagaa anything juu ya tension

mimi mrembo anaitwa VIVIAN hunikumbusha izo makofi

Hehehe. Pole Sparta.

@Bingwa Scrotum ndio anavalia hiyo dera

nishapoa kaka

:D:Dama @pamba

And the Kunguru Chronicles continue…

:D:DAma Uwes Jenner

:D:D:D:D,dera kijana wamunyota aliperekea khupipi

alimpelekea na guarana iyo siku alipewa HKM

The momment the story fikad the point ati she is crushing at yah place after beef na mather nilijua story ya kubambwa na weed inacome…since prima ma stoner wengi wameumia hivi…not from personal experience but had kuna mmoja alishikwa on 13 feb after dame kucrush for like 4 months…na boys akawachwa na kesi ya bangi.Shit was hilarous looking back but at the momment the cops almost fucked up and a crown was getting invloved and alitaka kumskuma kwa court wamchinje do huko…bish amehepa keja kama we ni stoner ni kuwa kwa danger zone mbaya…unapatikana wrong side kivingine hata unajuchukia
[ATTACH=full]172917[/ATTACH]

kamia bag ya shasha hapo crazy boys old town TLS…wewe ni mtu ya Ganjoni…iyo hekaya iko juu…

kumbe siko pekee yangu tuko wengi

pale near sacread heart unaitambua

Hekaya swafi kabisa

30 green emojis

Kufugika my friend. Sio kufungika.

sparta apana tambua spelling lakini wacha nikuskizee

Kama hii ndio attitude yako ya “apana tambua how to do anything right” hizo vibaree zilikufaa lakini hazikukutosha.

Hii hekaya iko chonjo design ya kibaree unexpected

pewa like. hekaya safi

@pamba ajue karma is a bitch…
ION, hekaya iko on point… kama hiyo joint wamunyota walichukua…

@TLS Naona uko Nai kumbe uko mitaa yangu.Inbox location upate za Iftar.Hekaya zako huwa wazimu.

mombasa?