VOTE: SHOULD TIG BE MADE A MODERATOR?

I Will accept the decisions…here are my credentials

Primary and High School: Braeburn hivi

Residence; Kitsuru hivi

Prev. Residences: Westi hivi…Kilelehswa etc

University: USIU and later Utah university…IT hivi

Current residence: Paris, France…apana tambua

Fav. Food: Pizza and French fries

Fav Drink: Passsion juice

AMBITIONS: Make KTALK a better place

REPLY WITH “Y” if u wanna TIG bcome Admin and also u can reply with “N” if u think TIG is nt good 4 his job…remember, i will accept defeat…thank u all love u…PS uwesmake…dont vote…please

[ATTACH=full]3588[/ATTACH]

isn’t it too early in the morning to be lobbying? The absence of a girlf or spouse in your credentials makes me very suspicious…troll supremo!

Vote or stay away umbwa

haha silencer

yes moderator wa VIP zone

1 Like

WAZI HIGHSCHOLLER M2 WANGU

kwani tuna vote in favour kwa lazima? chieth guok!

@highschooler WATU HAPA WANAFIKIRI NI ATTN NATAFUTA LAKINI HAWAELEWI…MANZE NA NI WW NASHW …MPASHO WANATAKA NIENDE SITE YAO JO.::WAMENI APPROACH JAMAA… thats why sikuwa active the last days…nilikuwa nafikiria jamaa…niwache watu nguyaz wa kutoka Klist now Ktalk niende MpASho nn…hio imenisumbua::…tem ikisema ntakuwa Admin hapa ntaweza decide kubaki lakini kama ni blunder manze ntawa saree m2 wanguz

1 Like

@gashwin umbwa ww

tembeza huko. ktalk apana tambua Mharo

huko nalipwa jamaa,mukundu ww

nenda ulipwe upate pesa ya bundles za mchana uwache kungoja nightshift ili u login ktalk

6 Likes

enda tu; tutakumiiiiiiiiiiiiiiss!:D:D:D:D:D:D

1 Like

I vote YES.First order of business is banning @uwesmake the gay watchman

Night shift data

Enda mpasho nugu wewe…

Start your own site and make yourself the Admin.Here we don’t need an admin who fights with women day in day out.

4 Likes

Since you are a bloody"IT hivi"…Why don’t you start your own site, administrate and moderate it. Burukenge wewe

Umbwa wewe hata hujui ku create poll

Hiyo ya attention seeking ni ukweli lakini, FYI, nimevote “Hii ni ufala”.

Ati lives in France na fav food ni fries juu huitwa french fries. #facepalm.

The original post is a detailed autistic fantasy that only an idiot can believe.Prove with Passport ikiwa na visa ya France kubaff.

2 Likes