so sparta jana,nimekesha nikimumunya whisky,since hakuna job na arauka. nimelala kitu 3am na by 5.40 nilikuwa macho, kushower ka breakfast na kutoa lock… na kuchomoka kuenda kuvote . kufika tao kunakaa place watu wamehama…unapatana tu na GSU wako tayari. .
kufika polling station scared heart, hakuna wasee nimepatana na makarao kama 25 uko ndani na some few jubilee elected MCA uko …the process imenichukuwa 2 minz …walai watu wa nasa wameboycott hii kitu…lakini hii pesa 12 billion tugepewa mtu yake…UK apishwe kesho
voting this time ni upuzi