kwetu kisii iko msemo ilisemwo kwamba ubwa harudii kukula matapishi Yake.ukweli mtupu.Niko APA desperate bench inje ya co-operative,hii co-operative iko karibu na bomb blast penye ilihappen.sasa Mimi nimetulia tu pale nikitegea kateam kalikua kanacheza morning kalete pesa then naskia kasauti kwa simu eti bro,si uulize ile rafiki yako Daktari atusaidie na kadawa juu ile ndugu yetu akienda kukojoa anatoa vitu za white sijui zinakaaje.unajua walikua wamekosana na Bibi but sasa walirudiana soo nikama aliuma kitu mbaya.anyway kabet kamejipa,wacha niwidraw then nitarudi na ekaya kamili baadae.lakini kabda nikuje na story, MTU unaezaje rudisha kitu imetombwa tombwa na unajua kweli imekua ikitombwa eti juu ulimpenda sana kama wife. wacha umama kasee,wacha umama.ule muimbi wa Tanzania anasema wacha ibaki story,heeee wacha ibaki story kati yangu Mimi na wewe
1 Like
Nimeachia hapa
6 Likes
Seconded
Nimevumilia
2 Likes
Nimemaliza.
3 Likes
Nimeudhika.
4 Likes
Nimewahurumia
1 Like
Nimejilazimisha
1 Like
Nimechoka
2 Likes
Nimeshangaa
2 Likes
Nimeshtuka
1 Like
Mnaudhi!
Nimekasirika
Nimekwama
2 Likes
nimecheka.
[ATTACH=full]79318[/ATTACH]
1 Like
ati ‘muimbi’ wa tanzania :D:D wewe ni true blood mkisii
1 Like
Nimeharibu muda wangu
nimetomba
Nimestaajabu