Wacha niende lunch....

…nikirudi nisipate matusi…juu kuna mtu atakula hard leo!

things in a short while …

[ATTACH=full]11232[/ATTACH]

Reminds me of “why do dogs chase after a car they can’t drive?”

@Chloe :D:D:D:D that question describes waaaaaaaay too much of what goes on up in here… which is what you gon’ see shortly :D:D:D:D

:D:D:D:D:Dhuyu ni POTUS wa wapi?

1 Like

This happened to me when I was driving home one morning… I wish I had a dash cam.

1 Like

WA nchi ya madoggy…huoni hiyo security cordon iko

Kula ushibe, lakini usije hapa na mishuto wala mishituko!

[ATTACH=full]11249[/ATTACH]
ngima na matumbo + pilipili kwa mbali

hii matumbo inakaa liver

Kwani umepakuliwa kwa sinia?

Ha ha ni liver , guess he confused

2 Likes

i thought everything from the inside huitwa matumbo, welcome for a late lunch

Thnk you …had mine a while ago

Hivi tu ndio vyenye watu huingizwa mbox

1 Like

Na kwani hii lunch haikuwahi malizika?

1 Like

Hehe