wadau...... hambali syenyu

mi naomboleza tu na watu wa muguka,tuko official press conference tukitaka kujua what is our next step ya kuweka hiyo matawi…in the mean time tuingie ujinga ya wakenya…

@screwplus : Hapa ni GSU
GSU: Ndio tukusaidie aje?
@screwplus : Mimi ni Kipofu
GSU: Tunakaa kupeana macho?
@screwplus : Hapana nimekuja kufanya fujo ndo nione

20 Likes

[ATTACH=full]121854[/ATTACH] [ATTACH=full]121855[/ATTACH]

4 Likes

[ATTACH=full]121856[/ATTACH]

2 Likes

hio ya naKUMAtt na UCHumI waiite tu KUMAUCHI hypermarket

2 Likes

[ATTACH=full]121857[/ATTACH]

13 Likes

[ATTACH=full]121858[/ATTACH]

5 Likes

[ATTACH=full]121859[/ATTACH]

4 Likes

kudate dame Mmeru ni tricky sana…
Unajifanya mromantic,mnaanza pillow fight. kidogo kidogo anatoa panga

[ATTACH=full]121860[/ATTACH] [ATTACH=full]121861[/ATTACH]

3 Likes

Nmejichocha nkabebea dem flani maji 20ltrs kutoka ground floor adi 6th floor, kufika kwa mlango ananiambia ati "asanti sana, weka tu apo chali yangu ako kwa nyumba ataingisha ndani "
Imebidi niteremke na izo mtungi zikiwa na maji adi mahali nilizitoa.
kuna ujinga sipendagi:cool::cool::cool:

5 Likes

Dating a ghetto chic like;
ME: Sasa hun.
HER: Ah! Fresh sana mzito, semaje?
ME: I just wanted to tell you that I love you
so much.
HER: Muhimu brathee, tufike kejani urarue
hii kitu ama?:D:D

9 Likes

[ATTACH=full]121863[/ATTACH] [ATTACH=full]121864[/ATTACH]

9 Likes

[ATTACH=full]121865[/ATTACH]

1 Like

A Kikuyu man wins sportpesa jackpot
QUESTION: Utafanya nini na hii pesa?
Maina: Kwanza nitahesabu nione kama ni yote.
:D:D:DWasepere walikosea wapi aki:D:D:D

14 Likes

Nothing makes a guy happier than when a chic says “go and lock the door first”…
Ata trao inaweza kutega.:D:D:D

10 Likes

[ATTACH=full]121867[/ATTACH]

1 Like

Majuu kuna seasons nne; winter, summer, autumn na spring. Huku kenya tuko na season ya maembe, machungwa, plums, pears…

1 Like

[ATTACH=full]121869[/ATTACH]

[ATTACH=full]121870[/ATTACH]

3 Likes

If you want to laugh

  1. Open google
  2. Search minister of water for Sudan
  3. Click on images

[ATTACH=full]121871[/ATTACH]
:D:D:D

6 Likes

That awkward moment when you’re in church seated next to your Ex, then the Pastor says, “Tell your neighbor its not yet over”… and you’re like, “I said its OVER”!!!:D:D:D:eek:

9 Likes