Niko hapa ukambani on an official tour undisclosed lokeshen. Me and my team have just discovered a very weird phenomenon. Since we got here yesterday our gadgets have been recording random changes with the time. At times several gadgets’ time are a whole two hours apart despite having set to the automatic network providers time and manual setting. Sasa ata alarm ya kuamka kutafuta unga imekua ikilia mapema than set ama waaay later. Hii ni hujuma. Swali ni, kwani Cambodia timezone imerogwa??[ATTACH=full]124144[/ATTACH][ATTACH=full]124145[/ATTACH][ATTACH=full]124144[/ATTACH] [ATTACH=full]124144[/ATTACH]
Angalia hizo messages za kwa zukabaga kwanza… labda hapo ndio umeshapata jibu.
kweli kuna place ukambani hata law of gravity hua opposite
Nimezifungua lakini hii usaitan bado iko…current time ya kunguru nafuga temporarily hapa ni 10.58, ya huge p***y (hp) ni 10.52, na ya kaduda iko 10.34:eek:
Hii mahali inastua yawa…mazingaombwe isreal
picture two inasema mko nairovi bado? Ni simu zenyu zimerogwo…
Si you just remove the auto network option ya time ndio clock ya simu ifanye normally
Watu Wana deal Na a slow day.
illuminati!
Ambia hii ngombe
Done this over and over na haisaidii…technically speaking, what could be the cause of this wenda wa simu?
tafuta mganga mutheu kutoka hapo tala kangundo,next thing ni nyinyi kumea coomer na import zimee miti,mtaona maajabu,gojeeni tu hapo
Shida ni hio cheap FERO phone
yu hv tme notifications kwa messenger check plz uache kutusumbua hapa…
Weka GPS on an set timezone to GMT+3