Wahujumiwa na Waizimiwa: Check Incase u parked and 'forgot' one of your planes at Wilson

[ATTACH=full]242279[/ATTACH]

interesting Auction loading…

We shall pay in cash. Hizi 1,000/= notes kwa store lazima tuzitumie kabla deadline ifike

Mattress lazma mta-empty my fren Gatheca is not @Amused

yes. That’s why we want to buy back our choppers

Nilijua @maizeroaster ndio amepigwa risasi kwa kuruka ukuta wa state house

@Punda wewe kwani bado huja tibiwa @PepoPunda … Ngazi-ya wewe umefanya leo nikosee kijana yako @digi ashma

mattress account yangu ni ya dorras

[ATTACH=full]242293[/ATTACH]

Yani sasa sio phono bed ni dollar bed

Some of those “aircraft” listed there are aircraft in name only. Some can only be sold as scrap. Watu wa Lang’ata road najua mumeona Huey’s mbili za white parked kwa tarmac[ATTACH=full]242294[/ATTACH] for at least a decade

My fren jaribu uiguse ndo utajui haujui hiyo ni ndege :smiley:

Hii bed ndo imefanya Easter Paris anoki na Mike Mbuzi Soko…kuna breed ya madame kama bed haina lining ya dollars huwezi mwaga ndani

hii niya mzito @Motokubwa

wakati mi napigiwa simu 5 A.M na jirani ati nitoe jalopy ndo yeye atoke wengine wanaitiwa ndege….LANES

Pia yule mjamaa wa kumwaga ndani @Mimi Huwa Namwaga Ndanii lazama yake iwe na dollar mattress hata kama ni fake

Have you noticed these 2 handles have gone dead silent since that Githurai 45 incident : @Wanaruona and @Motokubwa

ni vile najaribu ‘kudispose’ mathao with leaving a scent ndio mahound dogs za kra zisinifuate

waambie wasikie,na nikuulize nefmatako ako kwa kijiji yako?niko huko chini ya maji