Wajothefu kibandaski

*Enters WaJothefu Kibandanski in the company of two persons. Sits at the corner trying to avoid WaJothefu because I have a debt dating back from last month. The persons order food that has meat, and I do the same. WaJothefu sees this and approaches our table folding her lips and pointing them to the roof. She comes to our table and tells me; ‘Mabo?’
‘Poa sana WaJ’,then I look at the persons and say ‘hoo huyu ndiye mwenye hapa, anaitwa WaJothefu ni mama mzuri sana’…I say smiling ear to ear to resemble a crocodile… The persons nod like ‘hooo pleasure.’
WaJ leans towards me with a lowered voice and tells me ‘mimi sitaki kuskia hizo pressure wananiabia…pesa yangu ya last month unajua hujalipa?’…i bend to her hears and tell her ‘WaJ hiyo pesa tulia kidogo nitakulipa next week…’
Just then, I suck a bone marrow noisily and WaJ gets angry and raises her voice…’Yaani unakula nyama na….’ I intercept her midway and respond ‘aai daktari alisema naweza anza kukula nyama tena…nilikuwa nimefungiwa mwezi moja tu…’
She hits back with another rant ‘wewe kwanza unajua tuko already mid-month na… I intercept her again… ‘Haki imagine ni mid-month na vile hii jua imewaka, si sa hii huwa kukinyesha?.naskia wakiita global warming ama warning kitu ka iyo’
By this time, I feel like I have caught two grenades mid-air, but feel like the third one will explode before I catch it. So I tell WaJ ‘ebu kuja kidogo tuongee hiyo fiashara vizuri’… I walk WaJ aside and tell her ‘aaaai WaJ,tutaishi hivi kweli? Hii ni aibu gani unataka kuniletea kwa hao warembo?.mambo ni kuongea WaJ, ama namna gani?’
We resolve the issue aside and then I get back to the table with stories like…’unajua huyo mama kuna vitu huwa tunalima nayeye nahuku Kinangofu, na mvua imekataa kunyesha kabisaa…One of the persons ask ‘nini hizo mnalima?’. I mumble something like ‘zinaitwa ngojeti’…as I quickly divert from that topic.
Ubaya wa wamama haki hawajui kuficha game…wanamwaga mtama kwenye kuku wamejaa…
OLE WERU

10 Likes

[ATTACH=full]88176[/ATTACH]

:DGlobal warning…

2 Likes

:D:D:D:D:D:D

OK.