Wakimbizi

Nilikuwa nimeanza hizi morning exercise za kukimbia…alafu nikakumbuka Mathayo 2:4 inasema “na waovu watakimbia bila kukimbishwa” ikabidi nimerudi kulala…sahii ndo naamkaL

Sasa unatuambia ndo tufanye nini? Nugu.

Utaka kufanya nini? Fanya basi

Homo Stupident spotted somewhere in Ktalkers

Bhangi bado unavuta beyond your limit

Maryjane is holy

Hiyo iliandikwa kwa memes za watoto before christ.

Tuko aware