wakina nani hawa...

[ATTACH=full]178341[/ATTACH]

ruge kawa babu na set kitambi kwisha dah

duuh jela si kuzuri kabisa

:eek::eek::eek::eek::eek: Duh! Assallale…

Wamechongoka kweli kweli

Duh ruge amekua kama Mt.Maximiliano alivyokua kwenye gereza la hitler adi huruma aiseee

Seth gereza limemsaidia kufanya diet no kitambii:D:D

Ndio maana wanakwambia shida nyingine zinapotokea huwa zinakuja na baraka,alishakata tamaa kabisa kuwa tumbo lake haliwezi kurudi na saa nyingine aliamini ni kitambi cha kurithi hivyo hakiwezi tena kupungua,thanks kwa uongozi wa awamu ya 5 kwa kutuweka huru…

Mablazameni wametoka mchicha kichizi.

Aisee

Daah maisha haya!

Rugemalila!!!

Siku ya kwanza alishindwa kupiga magoti; sasa hivi laaa kawa kijanaa; hata kitoka home mbona mambo safi tu kwa ze wife

Duh wamechoka sio mchezo.

Tafsiri ya kuishi kama sheturn

Doctor alidanganya mahakama kuwa puto la Sethi litapasuka muda wowote ili atoke rumande…mbona halijapasuka mpaka leo?

Pengine muda wowote haujafika

Anaweza hata kupiga ‘hat trick’

Jiwe likiangalia hiyo picha linafurahi kwelikweli

Inasikitisha