WAKUBWA!

#7
Hekaya
Nilieka thread hapa juzi ya men apparel nikitafuta nguo official juu kitu nilipitia naxvegas ilifanya nikathink twice.so nilikua nimevaa jacket iko na strip ya uniform ya ma ap mchana sikujua makarau wa nakuru hushika watu ovyoovyo nikashtukia @pamba amenisimamisha nikakubali tuende pale central nikijua mkubwa ni mtu tunajuana akaitisha 35k!!!.sikutaka kumaibisha nikamwambia aende na 15k akakataa hapo ndio nikajam nikapanda hio stairs nikaongea na mdoss wacha aitwe vile alinyenyekea hadi anaomba msamaha.vile nilirudi alikua ananiona na huruma nikajiambia angekubali tu hio 15 na aende zake.
 
#8
Hekaya
Nilieka thread hapa juzi ya men apparel nikitafuta nguo official juu kitu nilipitia naxvegas ilifanya nikathink twice.so nilikua nimevaa jacket iko na strip ya uniform ya ma ap mchana sikujua makarau wa nakuru hushika watu ovyoovyo nikashtukia @pamba amenisimamisha nikakubali tuende pale central nikijua mkubwa ni mtu tunajuana akaitisha 35k!!!.sikutaka kumaibisha nikamwambia aende na 15k akakataa hapo ndio nikajam nikapanda hio stairs nikaongea na mdoss wacha aitwe vile alinyenyekea hadi anaomba msamaha.vile nilirudi alikua ananiona na huruma nikajiambia angekubali tu hio 15 na aende zake.
vile hiyo 15 ilibaki si unirushie ka kitu nilambe KIBAO vodosky
 
Top