WAKUBWA!

Ndio nmetoka cell sahi apa parklands .bibi alipata slap Jana akakimbia police station.sasa nashangaa kwani siwezi imarisha nidhamu kwa nyumba yangu? Nwei boinnet ndio amenitoa, mutyambai hashiki simu . Hawa vijana walikua wanataka 36k…don’t know how they arrived at that figure. @pamba ghaseer nyinyi!

[ATTACH=full]250390[/ATTACH]

turdmean unasumbua

Kula hii Kwanza @Mr Stew [ATTACH=full]250393[/ATTACH]

[ATTACH=full]250398[/ATTACH]

Oh, unaishi parklands ama DEEPSEA

Hekaya
Nilieka thread hapa juzi ya men apparel nikitafuta nguo official juu kitu nilipitia naxvegas ilifanya nikathink twice.so nilikua nimevaa jacket iko na strip ya uniform ya ma ap mchana sikujua makarau wa nakuru hushika watu ovyoovyo nikashtukia @pamba amenisimamisha nikakubali tuende pale central nikijua mkubwa ni mtu tunajuana akaitisha 35k!!!.sikutaka kumaibisha nikamwambia aende na 15k akakataa hapo ndio nikajam nikapanda hio stairs nikaongea na mdoss wacha aitwe vile alinyenyekea hadi anaomba msamaha.vile nilirudi alikua ananiona na huruma nikajiambia angekubali tu hio 15 na aende zake.

vile hiyo 15 ilibaki si unirushie ka kitu nilambe KIBAO vodosky

Hekaya complete?

Inakuja

Na bado unaishi na hio kunguru?

Hakuna hata mbicha ya flag ya utumishi kwa wote

Wewe usimwite kunguru

Umesahau ,
My fren

mbisha sikuchukua

:D:D:D:D

Akina @pamba ni ma umbwa tu

Siwezi ishi nyumba moja na mtu ameniweka cell nikahongana kutoka.

If she reports me kwa makarao I will make sure ametoka kwa hio nyumba. Nasimama hapo and watch as she packs every last thing she calls her own.

Nikitoka nisimpate hapo, hiyo ni death warrant…