Mimi ni mmoja wao. Sijazoea kurukishwa rukishwa na spring za nyuma na hii tumbo yangu.Halafu tena tabia za peasants kule nyuma huwa hazileti shangwe. Mara mziki iko 100 decibels, mara mwingine anatafuna mahindi kwa sauti, FP naye ametoka kazi na hajaoga. Siwes vumilia.
...alaf kuna mahali makanga hukataa kusimamisha mtu anakuambia pengine ushukie huko mbele lakini mkikaanisha na dere unamskizia vizuri anakubali...inakuwaga 1st class treatment
Can't sit on the middle sit...dere na gear yake.
The idiot keeps changing gears na sahizo he holds it from my side so that his knuckles keeps grazing my thigh.
Can't sit on the middle sit...dere na gear yake.
The idiot keeps changing gears na sahizo he holds it from my side so that his knuckles keeps grazing my knock knees.
kuna this hawa watu huwawezi panda matatu any other seat kama sio apa kwa dere....
halafu this fools wakikaa apa mbele juu kuna two seat mtu mwingine akikuja hawawezi songea...inabidii wanashuka ndio wewe uingiye...ata ukiambia the fool nashuka apa karibu
sasa this people ata uki ingia time ya kutoka.this fool hataki kushuka anaweka miguu kwa side ati upitee..
hawa watu shida yao huwa nini?