Niko hapa undisclosed classified Black ops location. It’s officially December Mimi niwale huparty during this month halafu Jan nakua broke Kama church mouse lakini fuck it!
[ATTACH=full]142472[/ATTACH]
Hii unaichapa dry!
Nakamata diesel kwa nyumba nikingoja masaa ya local…
I love my whisky straight and neat followed by water and not mixing…situmii soda Mimi hio Ni ya sissies
Gk,Bavaria,castle ama faxe stout?
Hiyo tu ndio diesel.
FAXE ilinilewesha saa saba na nusu sometimes back. Na nilikua niende party later
Msito nitumianie msinga moja ya afco
Faxe Ni devil’s advocate my friend nilikunywa 14% nne nilikua nauliza watu Niko wapi?
Uko wapi?
Ndio nimeland kasa mdau
Wacha nikutafute kesho tutengeneze kikao
Kesho ni tricky buda. Tuseme sunday next weekend
Omwami wachaneko na sisi watu wa kutaint.
Hio makali ilinishinda. Kichwa huwa inanimaliza after kutumia…
Load hiyo picha tena. Haifunguki
Carlsberg brand ambassador @vuja de kuja useme alienda wapi
[ATTACH=full]142484[/ATTACH]
hehe mpaka ukahata party :D:D whatever concoction they have used must have come straight from hell. sigwesi gusa
Yenyewe kama umeanza dec na VAT, Jan vitu kama chum kwako itakuwa kama kukunywa Glenfiddich
Boss my consistence with vat is well known in the village and beyond am hoping you wanted me to fit into your narrative that just because is December am go for expensive and overpriced shit (Glenfiddich) like you have alluded to sorry to disappoint yah don’t need your validation btw I have noticed your are on my case on my threads lately just take a chill pill please