[ATTACH=full]180798[/ATTACH]
na bado kuna watu watafeli…
Huu mtihani ulivuja wanafunzi walikesha kuukariri
Ya kweli hayo ? au mmeamua kuwasingizia Walimu?
Kama ulishawahi kusikia mgomo sasa huo ndo mgomo wa bila kuingia barabarani
Maswali ya darasa la kwanza haya
Nalog off
Wewe utajibu vipi hapo mkuu.
Mgomo baridi
sijui coz mim na elimu yang ya drs la 4 sijasomaga maswal kam hayo
Hahah!