Wamejua Hawajui

[ATTACH=full]238894[/ATTACH]

Kuna siku nilizipata kwa yard flani kadhaa wasn’t happy though driver akijifinya anaweza lipa hio 40 k tamaa ndio inaharibu

Ikianza mechanical issues ndio watalia zaidi. This thing retails for 400K uko India.

Says a lot about the economy. Are middle class pinching pennies when it comes to taxis and general middle class lifestyle?

Tough business environment this Kenyan one.

Also there is the typical Kenyan behaviour of rushing into a new business (mkiwa wengi) , thus creating a saturation and you all end up suffering and losing out. Variety of factors at play here.

You must be a thieving low level civil servant. They are the only people I know ambao wanadharau pesa. Unakuta jamaa wondering why some people don’t buy meat and alcohol everyday.

Hio kitu nilisema hata na dawa siwezi panda. Same na kubebwa na wheelbarrow.

Ata hio 650k ni mingi sanaaaa for those glorified tuk tuks. Pengine waziuze 150k.

But those are just 13 suzukis, they are waay more than that yes??

Hakuna mwanabiashara mdogo Kenya ambaye hapitii mambo magumu kuhusu pesa sasa hivi! It’s terrible!

I heard showroom price ya those toys ni over 800k. Like for what seriously

Gari ya kuyumbayumba ikipigwa na upepo hata 250k brand new owessnunua.

its 1 mirrion

It is spacious lakini. I rather buy it for my kipii apelekange kwa back yard kama toy car than put it on the road. Fuel tank inatoshana na glass ya maji.

Biased mofo. He wants to say he is blind to those other listed vehicles? State of the economy affecting all sectors

No way some drivers are frustrating the owners if you don’t know you don’t know