Wanaume kujipodoa.

Hivi baadhi ya wanaume kwa nini wanajipodoa. Kuna maswali mengi mwanaume kujipodoa, Je ni kwa ajili ya kuwavutia wanawake au wanaume wenzie?

Je ni usafi na umaridadi tu au kuwaringishia wanaume wenzao au ni kushindania urembo na wanawake?

Twajua kujipodoa kwa wanawake ni kujiremba lakini mwanaume anaejipendezesha kwa kujipodoa na ma make-up chungu nzima huwa yuafanya vile ili aonekane mzuri zaidi kwa watu sampuli gani? [ATTACH=full]1063[/ATTACH]

si uso ni yake unataka tufanye nini.

1 Like

Gay chieth.:mad::confused::frowning:

1 Like

http://img.mogicons.com/s/are-you-kidding-me-160.png

WHAT THE FUCK?!

LAKINI SI USO NI YAKE

http://img.mogicons.com/s/monsieur-74.png

Kiswahili is not my mouth

1 Like

Hehe you are now reading with mouth?

1 Like

[ATTACH=full]1067[/ATTACH]

ata nimedhani ni kichwakibovu na mafala wa mpasho wamepost

SAM, HIGHSCHOOLER = GAY

1 Like

Men are getting jealous of ladies. Feminism is killing manhood

gay ni wewe ghasia