WANAWAKE KUTOKA WILAYA YA ROMBO TANZANIA WAINGIA KENYA KUTAFUTA WANAUME.

Wamama wanaopatikana katika kijiji cha Rombo mkoa wa Kilimanjaro wameamua kuvuka mipaka na kuingia katika nchi ya Kenya kutafuta mabwana wa kushiriki nao Ngono.

Wameamua kufanya hivyo kutokana na baadhi ya wanaume wa kijiji hiko kuwa walevi kupitiliza na kushindwa kushiriki kimapenzi itakiwavyo.

tafasari kimbilia mbisha kabla watu wa HOYA panel wafike

3 Likes

[ATTACH=full]5838[/ATTACH] HOYA

2 Likes

who cares?!?!

as if there aren’t too many of them nairobians

huku western waganda wamejaa

1 Like

@ fala12,kesho nakuja kakamega kutembelea watoi wangu hapo kakamega hill school,sema niwapi nikupate upewe mbili omwami?

Wapi mafisi wa Ktalk, akina junkie, uweskamau, TIG and TLS wakimbie huko?

kuja mumias omwami nikushikie nyungu ya busaa na topup ya chang’aa

Nitapitia hapo nikitoka bungoma.

haya pea mimi number kwa inbox

Mmhhhh!

Nikupe namba ya nini… ?

namba ya kiatu

1 Like

:smiley: :smiley: :smiley:

wekako adress hapa nikutumieko mmoja kama parcel

ROMBO = MBORO , SWAFI WACHA WAKUJE

Njaa ya mboo. isorait

[ATTACH=full]5840[/ATTACH]
[ATTACH=full]5841[/ATTACH]

:D:D:D