Wanawake mlioolewa hela zenu mbona wabahili?

Habari wakuu,

Wanawake wamekuwa watafutaji wazuri wa pesa sana siku hizi…

Hata walioajiriwa wengi wanalipwa mishahara minono sana.

Ila hawa wanawake wanapoolewa baadhi yao wamekuwa wabahili sana katika kusaidiana.

Kila majukumu ya familia yamekuwa yakifanywa na wanaume.

Hivi nyinyi wanawake hela zenu mnapeleka wapi?

Wanasema wanajipanga siku mkiachana yy aendelee na maisha yake na pesa zake.
Mkiwa wote kwenye ndoa/mahusiano wanasema zitumike zako tu ww c kichwa wao mkia. Maninaaa

wanapeleka kwao

Suala LA kusaidiana majukumu ni mipango kati ya mume na mke. Kuna familia ambazo hazina mipango kabisaaa! Hapo ndo mmoja huonekana bahili lakini sio. Utaratibu uwepo pamoja na uwazi

Hujui tu

na upande wa pili wa shiling wanataka 50/50!

Uzuri wa ngoma uingie ucheze utaona kila aina za rangi

hahahahah kiukweli sjawahi muhonga hela mwanaume nimezoea kupewa tu kila kitu eeeh lord have mercy niache ubahili huu jamani

Wanapeleka Vicoba

Bahat mbaya umeniwah

Hahah!!

Mke wangu mimi ni tafauti sana namshukuru sana Mungu kwa ajili yake

Hongera mkuu

Ukweli huu

Nimekopwa laki moja na mpenz wangu hataki kurudisha nasaidieni jins kudai mpnz wk

Mpenzi hakopeshwi hela…msamehe tu pole…

Mimi si Taasisi nawezaje kusamehe mkopo

Ha ha haaa…atakulipa K ila siyo hela

Ni kwa sababu mwanamke ameumbwa kupokea na mwanaume kutoa ndiyo maana…

Cc: @Mahondaw

Wewe sio nini?