Wapenzi wapendwa kenya

[ATTACH=full]142663[/ATTACH] [ATTACH=full]142663[/ATTACH] Hii pesa ya magufuli pombe ni makaratasi tu na tobe… imagine this morning i had 100k tzsh… saa hii niko matako tupu… lakini kulewa nimelewa na wale mabeste na mapoko nilikua nakunywa nao wote wamejipa shuguli… aki ive learnt a damn lesson. Mla nawe hafi nawe… sasa itabidi nilale kwa ndae coz siezi toa cash leo as in niko maximum withdraw ya siku… hii foto ni mimi asubuhi na saa hii kama nimesota

Saa hii na angalia ma ukuta tu… duuuuuu… magufuli pombe ni saitan kabisa

hehehehe sasa unalia juu ya less than 5k Kenya shillings? Wacha kuaibisha ktalk billionaires.

Sio aty 5k nalalamika ni vile atm nmefika maximmum ya day siwezi toa ingine hadi saa saba usiku… mimi niko poa choko

[ATTACH=full]142681[/ATTACH]

Gerarehia my fren

ATM limit yako ni 5k?

Mambo ya lanes!

@Mosa unatusumbua tu. Hujawahi leta picha ya kusafisha mecho. Picha ulileta tu ni menu

Bank yangu hapa Magufulirald ATM limit yao ni 300k.

Went to the bank asking they pandisha wanasema niandike barua.

Uko code gani? Me niko home but ntakua Arusha kuanzia friday. Jaribu CBA bank

Dar