Wapi derefa ya maroli

kwani alikufia DRC na ebora
@Meria Mata hebu check in

hako ile Kijiji ingine…

gani,
nipe direstions
namudai kuendesha msedes from athiriver to kikuyu

Kenyanlistdotnet

wao huko kwingine na @maasai 101 @Okiya wakipeana hekaya za South Sudan

mimi huyooo
naenda huko

Kupitia tu anyway semeni coz…huku sihami kabisa!

@hakimoto vipi boss…

POA ndauwo

Usiku mwema Sheikh…

Multi handle

Eeero mimi taka anza biz ya cereals small small.
Ni gani poa.
Market dynamics ziko vipi?
Mtaji ya 1.5M bila pickup ama gari yangu inaweza kuwa aje?

Unataka biashara ya duka ya cereals or buying from the source in bulk unauza where the market is…ie middleman?

Cereal business is good but needs high level of dedication.

Buying and selling in bulk