Washenzi w ktalk....

… amkeni mpelekee akina ng’ang’a Kanyari na Kiuna pesa wawauzie hope. Ndio wanunue gari na mashmba na pesa zenu.

Umbwar ghasia takataka kama uwesmakende

if its not your cup of tea shut up buddy. you dont have to be nasty about anything afterall its their money

Fanya hizi vitu 4 na utakuwa sawa
[CENTER][COLOR=rgb(184, 49, 47)]Sikiza hii sermon
Sema maombi
Pesa ya sadaka saidia mtu ako na shida[/CENTER]

http://www.lightministries.com/SDA/id14.htm
[SIZE=1]Warning; it is a looong sermon, 90 minutes long![/SIZE]

Uninyunyizie maji kweli wewe mweupe kabisa.

Sisi tumekataa kuibiwa tukiona

Uliuza ile data yako,ulipata kazi ingine.Wewe ni mjinga wa mwisho kwa hii dunia

Hehehe.
Uko sure mimi ni mjinga.
.
Hii nairobi siwezi fanya kazi ya 10k($100 US)

Nlibuy ps4, I feel happy now

As a techie ps3,ps4 bla bla zilinipituka juu ya many becauses,I hope to play it with my son(s)