Mkaanze course kwa Ras simba si tuko bize tunaangusha ung’eng’e tu…!! Watoto hawakazi ukigusa tu imo…!!
kwakuwa chanjo ya ukimwi imepatikana
dawa kinga ipo…! Mkuu na huku wameshaanza dozi
Mhhh
Utakwa mkalimani wangu
Mkuu huo ung’eng’e siungeanzia kwenye uzi huu ili watoto wakenya wakuelewe
Hahahhaha mwenyewe naona mageni jamani
Ngoja waje
Mmmmhhhh, sasa itakuwaje…
Atakuja, amesema mtandao unamsumbua
had tukizoea humu itakua sio mchezo
Tatizo ni kukosekana kwa App
Haahahahahhahaha
Ah namiis archduke tu hahaha ila wamejua kunikomesha nimekua nacheka napitia zile pages zao insta na fb wafanye namna either turud kule au iwepo namna members wale kule wawepo loh kama itawezekana
Mwambie ajiunge sasa
:p:p:p
Hahaha atajiunga akipata wasaa
Mwambie afanye haraka bana, mpenzi mtazamaji niko tayari hapa:D:D:D:D:D:D
Ahahaha:D:D nina wivu atapata mke wa kikenya sa hii anisahau bure
Kwani anajua kiswahili cha kenya:p:p:p:p:p