Waswahili wanasema kila masika na mbu wake

Wanaume tulianza kusifia shingo kama twiga sasa hivi shingo ndefu zimebaki za kupigia chabo tu!..

Tukahamia mguu wa bia! sasa hivi miguu yako kazurure nayo dada, hatuiongelei…

Msimu wa hipsi ukaja wenye bastola wakatamba !.

Hatujakaa vizuri umbo namba nane hili hapa paap!..tukaimba na nyimbo, tukatupa kule. Vuup! tukahamia mamiss, mamodo, wenye nyama robo!..wadada wakajikondesha hatari, wanashindia maji na mkate slesi moja! Sisi tumetulia tu.

Mara hao tukaja na miss bantu! Mavitu makubwa! Maboga! Matembo! Mavitu ya dunia!..wanawake wakaanza kula kama mapepo wanenepeane!, wakakosa uwiano, mtu ananenepa mpaka ukiangalia kwa mbali utafikri kibanda cha Mpesa au School bus! hatukuwaangusha…

Tukaja na chuchu saa sita fasta tukazitema!.

Tukahamia American boobs!, makubwa, sidiria zikaja za kubeba ziwa mpaka shingon.

Bandika bandua haooo tukahamia mizigo!, neema za Allah!, misambwanda!, vyura!, mitetemo!..

Sasa kama huna mzigo USIITESE NAFSI mrembo…Relax alafu niamini!, kesho tutahamia kwingne, mizigo itabaki na kazi yake ya zamani tu, ya kukalia na kale kashughuli kengine.

Tutahamia kwenye masikio makubwa!

Niko hapa siti ya mbele

Nakuonaaa

Ndio Villager mkongwe

Mkifika kwenye macho mniambie lol!

Yani unaonyesha unajicho balaaa…

Hahahhaa kwa nn shem???

Si unasubiri tufike huko na wewe utambee hahahaha…

Yan tukifika huko na mie litakua eneo langu la kujidai lol hahahha

Hahahaha ngoja nije piemu huko kuja kuyaona hayo macho…nikuandalie siled kabisa hahaha

Ahahahhahahaha pm nimefunga

Haaa hadi huku ugenn mnafunga ?

Ahaha ndio hatutaki usumbufu na wakenya japo tuko kwao

Tukifika kwenye Papuchi sijui itakuwaje.

NAWAZA TU.

AiSee

:p:p:p:p:p

hahah!

Na mie napasubiria hapo

Shem kumbe una jicho la dhahabu eeh

La kawaida tuu