Watu wa jua Kali munaniangusha banae

Tom Bayeye

Kinyozi wa Stima Jebedeyo
#7
Sijawai ona bathtab ya juakali, ya mabati..
well, good for you. Ndio maana hujaona bathtub ya mabati
View attachment 244347 . View attachment 244348
pale pumuu kijey kila mosque ilikua nayo ya kutumbukiza maiti ndani sa ya kuosha but also used in the slum areas kama hujiskii kuenda kwa bafu ya jamii,problem ni ilikua haiezi lala ndani ya nyumba ju ya space so kama uko na mtoi,crib pap otherwise unaiwacha inje kama umeikula nyororo na kifuli.Option C ilikua uweke kwa zile mbao za roof (runners),ole wako labda paka ilikua inapita alafu igonge bathtub idunde ama ikudundie ,either way ni nduru utatoa kama ya kasichana ka std 3
 

hakimoto

Elder Statesman
#8
pale pumuu kijey kila mosque ilikua nayo ya kutumbukiza maiti ndani sa ya kuosha but also used in the slum areas kama hujiskii kuenda kwa bafu ya jamii,problem ni ilikua haiezi lala ndani ya nyumba ju ya space so kama uko na mtoi,crib pap otherwise unaiwacha inje kama umeikula nyororo na kifuli.Option C ilikua uweke kwa zile mbao za roof (runners),ole wako labda paka ilikua inapita alafu igonge bathtub idunde ama ikudundie ,either way ni nduru utatoa kama ya kasichana ka std 3
Ati crib!!!
 
Top