Watu wa Narok tumesaidika

[ATTACH=full]162203[/ATTACH]Sasa tunaweza download the latest series na movies bila wasiwasi ya bundles.

Write your reply…floods haijakusweep.

nko juu ya miti, ata ndo upate iyo 4G lazma upande miti juu

Xiaomi Mi Max never receives Safaricom’s 4g!

Airtel’s 4g is like Safaricom’s slower version of 3g.

sijui unafanya nini airtel, unless unapark chini ya network booster zao, quit hem, even if they are the cheapest

Hiyo H+ ni logo ya, 3G

sijakataa, ni venye siyuko kwa area ya 4G but sio mbali sana

Was in nairobi and tested the Airtel 4G, was around 5Mbs

Sounds like a joke. Airtel shittiest network. N to think they’ve been around for as long as saf has been. Ni kubadilisha jina tu kama slay queen

Na faiba 4g nachezea 35mbps. Hizo zingine ni tuktuk

I know for a fact safcom’s iko juu than that ama inachezea hapo

Safcom expensive sana

Hata 3G haina bar moja… :smiley:

a good step for now.

cunt relate…sorry.

Bars are always dropping and filling up. But that has never affected the signal quality.

ongeza cyberghost uanze kutorrent

husaidia za wapi?

Saf hua wameblock torrents. Husaidia ku unblock