Wazee wenzangu wa kuweka mzigo(kubet)tukutane hapa tubashiri mechi za leo.

cc;pidddy
koncho77
mr wise
buddy
nyegere
jaquam
godzila
demidog
deepbond
n.k
karibuni ugenini kumenoga

Villager…hizi status za huku ni noma

Wanakuja

Daaahhhh, JF imeondoka na madini kibao aisee, ule uzi wa kubet ulikuwa unabamba sana kwa wadau wa kubet kwa kufanikisha lengo lao

Mkuu upo?

Kama haupo hapa haukaribishwi??

Hahahahahaaaa

Tangu siku sana mkuu, Jiwe ndio kanipa ukimbizi rasmi wa kuja huku

Hahahaha ngoja nikawape taarifa wapendwa wangu waje humu

Ebu walete bana mambo yanoge kama kawaida

Tunazunguka sana ila Jf ndo home asante wa Kenya kwa kutupokea

Dah JF imeondoka na madini mengi sana…ule Uzi kuna watu nawafahamu wamejenga Kwa kudesa mikeka…

unakaribishwa tuu mkuu

Pamoja

usiwaze hata ugenini patanoga tuu.

wastue wanaa .tumehamia safaricom.mwendo ni uleule labda wazime data

Na ata wakizima itataftwa namna tu…

Chezea kila kitu ila usicheze na mazoea ya watu kuungua kwa jamvi sio mwisho wa stori tutatumia kila mbinu kubadilishana mawazo

Hakika mkuu…

Kesho Saudi Arabia anaenda kushangaza ulimwengu…

S

Saudia na mpira wapi na wapi!?
Watapigwa nyingi tu, kwanza watakuwa na swaumu ya kufa mtu, mpaka mechi imaisha ndo maghalibi inaingia mjini moscow (saa 2 na nusu usiku)