Whats the point!!!!

Jo wasee church sitai enda tena… sunday last i was like kwa hii church inaitwa AISRAELI its church ya wakorino wajaka… but shiet acha watu wa anze maombi hadi wanalia mpaka wanafanya pia nilie na sina machozi… then wanaimba mawimbo zenye mimi peke yangu ndo sijui sasa inabidi nikule mdomo nionekana kama najua but ukiskiza akuna ile kitu nilikua naimba … anyway thats that and siwexi tena rudi uko

:eek::eek:

greetings a mosadeh.

A cultureeeeee deh… sup men. Kwani ulioleka ama ulipata new galfren ndo huonekani?

:eek::eek:

Yes a yah… hiyo church ni wagwam

Nn

N

haha.a mosah deh.ni shughuli hapa kule tu .hustle muhimu

Ya man… hussle lazima… lakini pia kutoklezea ni poa ama vipi rasta man

look for a Bible based, Christ led Holy Spirit filled church.

Hizo zingine, wacha tuu… Zimejaa roho mtakavitu.

Hahah ati rohomtakavitu iyo ni wagwan budah… by the way nilikua naona vile hao wamama wanalia wakiomba na imagine kama wanalianga kwa bed ivo wakipigwa kuni

Enda hosi pris.