[ATTACH=full]250628[/ATTACH]
@Lés Mangelepa hizi Gani Tena?
Vitu za FB zibaki huko priss
Ghasia
:D:D Kama vile @FieldMarshal CouchP anashow @Mwende_23 achukue selfie ndio atumie @gashwin ndio awache kumenjoy vile ako na dry spell ya 15 years
[ATTACH=full]250636[/ATTACH]
Naskianga sponsor akikukula nikama wahenga wamekumwagia…
Sa hiohio huyo slayqeen anaanza kuchapa na kuzeeka
achaga kutumia time yako yote kwa base ya goks…akili itaoza.
Huyu Ni ule presenter wa radio Maisha babu wa kasiaka
That woman has a funny looking face
Photoshop