Where are they now?

Nakumbuka miaka ago when I was doing my KCSE mjamaa alikuja akanishow “kah tony, umekuwa ukisomea hii exam gwan lakini ebu sikia ntapata grade better kukushinda,” didn’t know till later that guys had leakage ile ya Wasanga. I was a good student, still am. Mimi ndio wale hushow watoi, “Do you know I used to be #1 in class?”
Anyways, results zilitoka na bado hakuniona and I was like kwani hii ni jinga ya wapi hata na leakage bado inaona giza.

Time ingine, just when I was joining Uni nakumbuka meeting some family friends kwa supermarket. Hiyo family ilikuwa ile ya compe and comparison, they had a son my age. So huyo mthama after kumshow ile course nilikuwa nataka kufanya alikuwa anasema vile ni ngumu ningejaribu ile rahisi kushinda hiyo…meffi sana. Saa hii hiyo ndio field inanipatia unga. If she could see me now.

Some times I wonder where such meffis are in life at a time like now. Wale watu kazi yako ni kukuweka down. Just remember, you are your own motivation. Hata book ya Ben Carson haiezi saidia.

10 Likes

life is not a competition if you get there before me then congrats.

1 Like

Bragging takes many forms…

2 Likes

Keep walking bro. The world is littered with people who will use every excuse to put u down. Dont mind them. Keep walking

2 Likes

…who told you are doing good!?

Amen!! Like Ali kiba said, nitagharamia! Walk on and you will be amazed where your path will take you.

Why is it under sex and relationships…

2 Likes

si ni relationships