Who is your Wireless internet provider? And at how much?

Me, Zuku @ 4,500 every three months. (1,500 per month)
Safaricom Unlimited LTE at 5,800 per month

tuseme wewe ni student. lakini wewe ni virgin?


lete uhondo

Cable One…$ 69 p/m

[SIZE=1]Hata nikiandika jina huweziukaisoma herufi[/SIZE] $ 95 NdoRa plus simu tatu

After shitty 3years with Telkom …sahii naenjoy 4g for home ya 3700/ from sufferingcon na inanitosha Kwa sasa…

Airtel, 3GB per day at KES2,000

Safcom fibre to home .
20Mbps at 4100 wadau.
Can’t complain.

Sijui hata… apartment ndo wanajua. But ni 20mbps for 1k. Monthly

Student package. Mbaba achia wana chuo waenjoy package yao banae.

Chukua hata ya @3000 ya wababa

Wacha nifuate hii thread…whats the best alternative for place without safcom home fibre?

hebu leta contacts za hawa watu niongee nao

Paul Zuku - 0736914216

Iko poa sana. I use it in a remote village where fibre will not reach even in 2030!

Liquid Telecom

unatoa wapi unlimited lte?
ama iko na limit na huna habari?

It has no limit. Boss, I know the difference between unlimited and FUP! It is 100% unlimited.

Bro, how do you get connected?

ile mimi najua ni 400gb p.m.

Packages zake Ni zipi