Will yaitwa aje in kiswahili

Saidieni mtoto wangu wa Grade 4

Will - Ta.

forexaamp: I will do it. Nitafanya.

you’re welcome

Wasia/wosia
Kauli inayotolewa na mtu wakati yu hai

Mijinga
Will as in Tob Cohen’s Will .
Kwani umefuruta ikiwa na mbegu

William

Thanks alot.

lugha ya kiswahili kweli inawapiga wanakijiji wengi hapa makanzu nama chobo :D:D

Ngai fafa! Na umetoa hadi jinsi inayotumika. Wewe na mbinguni ni kama maji na umeme. Hampatani kamwe.

Willo

wasia

Wosia
Usimpe hili jibu la sisisi. Mfafanulie pia.
Ni vyema uelewe lugha ya Kiswahili inaambatana na tamaduni zake

Utako wa marehemu.

Elder, I have not known you to be slow.

Heheheeee…

Nikuibie siri, “I’ts with utmost sorry that you and @Nyamgondho demeanor are :”
[ATTACH=full]261360[/ATTACH]

Naona time yako Tz ilisaidia

Hata sahii niko tz…nimeuliza tu mlevi mwenzangu

Chukulia @digi number ya momo angalau wawili. Arimis taua yeye

I will not help a kunguru… :D:D

:D:D:D:D:D:D i was expecting this from you. night made!