Women are their own worst enemies..Evidence inside

Check this out, si Janet mbugua alifanya wedding juzi, ebu cheki ma comments za mamanzi kuhusu hio weddo… Manze hauwezi pata maboyz waki hate on uyo chali alimarry mbugua infact ata kama wewe ulikuwa janet mbugua secret admirer u hold yr own and nod yr head in agreement and say secretly Buda (groom) manze uliangukia isorait and then move on…lakini on the other side mamanzi jo…are their own worst enemies…

[ATTACH=full]6532[/ATTACH]
[ATTACH=full]6533[/ATTACH]
[ATTACH=full]6534[/ATTACH]
[ATTACH=full]6535[/ATTACH]

hehhe. Hating or not, hizo boobs zimesag kiasi.
And by the way, if you have read her story, she was DFHKM’ed kitaambo (in her teens) and at one time she had to run away from home…and i think she already has a kid.

Makes the hate in ktalk look like child’s play.

2 Likes

Women are like that.fucking vultures.I get vagina offers from women who know am happily married.ladies nowadays are just a fucking disappointment

2 Likes

Electron or erection,pia wewe umeingia gossip galore ??/

Kwani hujui ni mujamaa wa saloon

Mimi sioni ku hate yoyote. …most of the things wamesema ni ukweli. …that wedding gown kwanza IMO ni ile dead women huzikwa nayo!

3 Likes

Am one …but u are very true , have you looked at the ones commenting :confused::confused::confused: average looking bishes

1 Like

na wewe @Bryan Brayo, ulikuwa ukitafuta nini kwa virtual salon? ninge-expect mwanaume akatafute mahali ma biz opportunities zinapanukia…

2 Likes

Holela…kuja mos mos hapo, I have not read her story, what happened? she already has a kid from another baby daddy, hebu tupatie story msee na usikanyagie

Congrats!

I can help but ask…The Groom si ni the Daddy of the twins wa my namesake Grace Msalame…au vipi??

Haya. Fungueni saloon yenu ya muchene huko Kenyatta market.

Kuweni serious?? so which is which? this is mind boggling

Ohhhhh :rolleyes:… Na pia huo Janet ako na Twin brother??

Madem wakikol madem wenzao…

DEM1:Hiiiii… sweetheart…long
time…yaani a whole week hujakol
hata?

DEM2:Ooow, dear…aki
nimekumiss…nimecheki fb picha
yako…waaah sema urembo…figure
nayo!!

DEM1:Ah thanx pia niliona yako na
your guy…wooow I must say ni
cute…nakam hivo kwako kesho
evening…si u can mek some
pancakes…

DEM2:Wooow…you coming?..Ofcoz
pancakes lazima…u knw u cn come
here any time…u are my best friend
ever.

DEM1:Ok will kol you dear…mwaah
(after the call)

DEM1:Oh tht bitch competes me in
dressing nkt,ati fb picha urembo…na
vile pancakes zake ni tasteless.

DEM2:Damn…that whore is coming
here again…waah…she is a pain in
my $#@& and she just eats eats and
eats…

Boy akikol boy mwenzake…

BOY1:Eeeh Punda hii…unakuanga
na ujinga…a whole month huwezi
hata text?

BOY2:Skia sasa vile unabweka
matope…maze buda alikuwa
msick…kwani hukuskia nyani hii?

BOY1:Ha ha buda na vile ni msee
makupewa vitu chungu…iza
jo…lakini Hiyo kichwa yako kubwa
unaipeleka wapi this weekend?

BOY2:Sina mpango…kwani
unaniletea manzi yako nini? ha ha ha

BOY1:Nkt…tokea nikupe moja mbili
tukiwatch game…

BOY2:Na vile wewe huwa
msoto…ha ha ha ha …ni sawa
nitakol sato morning…cheers!!
(after the call)

BOY1:Mark is such a cool guy,he is
funny,he is a true friend.

BOY2:Eh maze Ben just makes me
laugh,he is there for me any time,am
sure I will have some good time wth
him on sato.

MORAL LESSON:Madem ni pretenders
kwa simu but ndani yao…SUMU!!..
Machali ni jokers kwa simu but ndani
yao…ni UPENDO!!!

14 Likes

@Okiya LOL

si ni ukweli?

I have always wondered whether there ever exists genuine friendship between females, they all seem so fickle, I have seen girls break up after one of them gets hitched or gets a boyfriend. The Jealousy and plastic smiles are just too much

AMEBEAT