Home sweet home imerudi ila tu kukoment ndo haiwezekani
Jamani na pm hakufunguki.
PM panafunguka ila hauwez mtumia mtu sms zaidi ya kusoma tu yaliyomo
PM MBONA IMEKUBALI KWANGU NA NACHAT NA MTU NOW?
Shukran mazee
Goood news
Pm ipo poa
Yeah nimejaribu imekubali pia
Enjoyyyyy:cool:
Nakuja kuchukua namba numby
Kama namba za viatu navaaga namba 40:D:D:D:D
Hahajaha
Hills au sandals za kawaida? Hahaha
Kabla hajakujibu kaninunulie kwanza mimi kile kiatu basii
We kiatu chako ntakununulia.
Tuache kuwa villagers, turudi zetu kuwa Expert Members, Senior Experts.
Uciof lv
Kwani Ilienda Wapi Mpaka Imerudi
Yebo yebo hahaha
Asantee. Nakutumia namba na aina ya kiatu whatsapp