Wale wazee wenzangu wapenda mieleka tukutane hapa kwa ajili ya kujadili mawili matatu yanayohusu mchezo huu pendwa.
Kwa kuanza tuangalie Money in the bank iliyochezwa jumapili iliyopita, monday night raw na smackdown live ya usiku wa kuamkia leo.
Wale wazee wenzangu wapenda mieleka tukutane hapa kwa ajili ya kujadili mawili matatu yanayohusu mchezo huu pendwa.
Kwa kuanza tuangalie Money in the bank iliyochezwa jumapili iliyopita, monday night raw na smackdown live ya usiku wa kuamkia leo.
Hivi Startimes kuna chanel yeyote inaonyesha mieleka
Miye team Roman Reign,John Cena,Triple H,Shawn Michael
Reigns alimfanya kitu mbaya sana Jinder na kale kajamaa kake kwenye #MITB
Jindal Singh?alimfanya nini nna km miezi miwili sijaaangali…ila daah!Roman reign namfananisha na Jeff hard
Huko sijui mkuu, njoo SDTV upate uhondo
DSTV nitaingia ila sio sasa hivi
Hakuna kingine zaidi ya kichapo, tena kitakatifu
jindal ashindane na Reign?
Karib sana!
Kule si kila mtu anataka kuchukua ubabe kwa kucheza na watu wenye majina
Y
Yaani utashangaa kijitu kidogo kinataka kumvimbia sheamusdaah!
Ila shemus wa kawaida sana, anazidiwa mbali na team partner mwenzake Cessaro
Roman alishinda Mone in the Bank
Ya mwaka gani?
Sifuatiliagi fake competition, labda nikutane nayo kwenye Tv tu ntaangalia kwa dakika kumi
Nashukuru roman kumfanyia mbaya Jindal Mahal
Mie kwenye mieleka namkubali mzee wa RKO wakuitwaga Rand Orton the legend killer,nimemuona live akizichapa na John Cena 2007 pale Johannesburg
Nalog
Mysterio Bado Yupo