xxx

huku kunaeza kua na hii section bwana admin??
na niulize wanakijiji mlio hapa kina uncle aka kamkunyi aka uwes aka momo diaries anaeza kua around na anatumia handle gani??
tunaumia sisi kama wanakijiji

http://www.kenyatalk.com/index.php?forums/vip/

Chock the chicken

Kuna shemale anaitwa zarina… he/she calls the shots in that section…VIP…

fika VIP section brathee

Hehehehe…
[ATTACH=full]1066[/ATTACH]

UNCLE NIKO

hahahahah aki ya ngai http://img.mogicons.com/s/the-rage-face-82.png

swafi uncle huku nimeingia tu juzi hata sijui kona zote. maze hapa orientation ni muhimu anko… wewe uko familiar na hizi section zengine isipokua vip section peke yake??? na umeshughulikia wanavijiji mzuri??

NDIO NAJIPANGA KWANZA NIJUE ILE COOMER INAITWA SUPU IKO WAPI?

pia mimi sijajipanga kabisa na pia natafuta grace_msalame hapa.