Young Africans Special Thread (Uzi maalumu kwa wana Yanga)

Karibuni tujadili yote kuhusiana na club yetu pendwa, club yakimataifa, wababe wa ligi kuu soka Tanzania bara mara nyingi zaidi, Club kongwe zaidi nchini Tanzania, karibuni sana.

Tupo apa,Yanga Lunyasiii

Nipo hapa Mwanajangwani mie.

Cc. @Prince Kunta, @joseverest, @Hazard cfc na wengineo wengi.

Tumekujaaa

Ewaaaaaa

Nasikia kegere anaenda dar young

Sikuhizi tetesi karibu zote ni zakweli

[FONT=courier new]Hivi siku hizi kumbe hata Timu za ’ Kipumbavu / Kipopoma ’ nazo huwa zinajadiliwa na wale wenye ’ akili ’ timamu?[/FONT]

[FONT=courier new]Kama kuwalipa tu Wachezaji wenu mishahara yao wanayowadai ya miezi miwili hadi leo mmeshindwa na mmewakopa ndiyo mtaweza kumsajili Medi Kagere kwa Tsh 130 Milioni wanazotaka Gor Mahia huku Yeye mwenyewe akiwa anataka alipwe mshahara wa Tsh 11 Milioni kwa mwezi?

Watu wa Yanga SC kuna muda huwa mnachekesha na kutuaminisha pia kwamba mna matatizo ya akili / upeo.[/FONT]

Umebaka uzi

[FONT=courier new]Sijaubaka tu ’ Uzi ’ bali nimewabaka hadi Wana Yanga SC wote halafu ni Watamu kweli kweli.[/FONT]

Ishafika swahiba
Hii timu yangu naipenda sana

Nasikia kocha alikuja fanikisha kupata ubingwa wa ligi baada ya ukame wa zaidi ya miaka 3 mmemtimua kama mbwq koko
Aisee nyie hambebeki

Hahaaa. Tuipende tu Swahiba.

Siku zote “DAIMA MBELE NYUMA MWIKO”

Watatukoma msimu ujao mikakati ya kamati ya kurudisha heshima ipo kazini

Umeonaeee. Huo ndio ukweli Swahiba.

Nilikuwa nashabikia Yanga ya kina Lunyamila

Sawa swahiba
Eid Mubarak

Minal Faidhina Swahiba. Karibu.

Sijutii kuwa Yanga hata siku 1