Young Kikuyu Men

Mkikuja Nairobi fanyeni kazi na bidii wazazi wenu wasipate ii aibu ya kuvalishwa gunia na nguo chafu za kitamaduni.
[ATTACH=full]342294[/ATTACH]

Mkosa mila,ni mtumwa

Hehehehe, hawa wanatafuta unga tu

ignorant thread…

Utaacha matusi na madharau nanii

[ATTACH=full]342348[/ATTACH]

School fees lazima itafutwe. Mimi saa hii nikiwahonga na mbuzi na muratina they will make me an elder. Kikuyu council of elder even though ama bachela.
Hakuna watu wajinga kama huto tuzee. Njaa na pombe ndio their undoing.

Those are fake elders but we know they are doing it for cash. Shida ni wale wanaifanya kuonekana as if it’s a community thing