nikiwa form four nlikua na galfren but hakua akinitrust,time flani akaamua kutuma beshte yake kwa jina la anita akam kuniseduce ili wanipime kama nko trustworthy,so anita akaanza kunizimia macho nikasense nikama nachezewa so nikaanza ingia box yake kumbe kando nakua nlikua chali ya beshte yake alikua akininoki chini ya maji! so weekend moja akanipa pussy mimi nkaichapa but shit happened! alipata BALL.
siku moja nikitoka shule since ilikua days caller nikapata wazazi wa anita hapo kwetu…mimi nikawagotea na heshima na nikaenda kuchange nguo,after some minutes nikaitwa kuulizwa kuliendaje nieke mtoto wa village pastor mimba!mimi nikanyamaza anyway wazazi wake wakadai tuowane tukiw chuo but my mom akakataa akasema tumalize chuo kwanza…
ff… so muda ukaenda na exam ikafika tukamaliza shule…na tukaoana,
January 27 2011 my daughter rose was Born…shida ilikua bado nlikua nadepend on mom kila kitu nguo food zangu na za wyf na mkid! story zikaanza mitaani ati nalelewa bibi na mama,ziliniuma sana nikaamua kutoroka nihepe aibu!
july 2011 sikumbuki exact date nikaibia mom 5k na nikaishia Mombasa.kufika 001 sikua najua anyone siku za kwanza nlikua nalala lodgo zile za 250 pale changamwe hadi nikaishiwa, doo zilipoisha nikatembea hadi town kutafuta job but sikupata.katika harakati za kutembea nikajipata buxton pale stage ya malindi…hapo ndio nlianza hustle ya kubebea wasee mabag ama kuwavukishia road hapo saa zingine naosha izo mat za malindi but still singe afford kulipa keja nlikua nadoz kwa zile bench uwa hapo stage ama kwa ile tunnel uwa hapo Buxton ukicross kuenda tudor.
siku moja nikapatana na mechanic flani mdogo sana anaitwa kamwana nikamshow anitaftie kazi kwa garage…aknishow twende!tukaenda kufika nikapata mwenyewe anaitwa kinongo akanishow labda niwe soldier wa kulinda magari na mshahara ni 100per night.
.nikakubali since sikua na ujanja…
nmechoka kutype nitaedelea