Zero Sum Game

Leo nikiwa supermarket nimepatana na a plus size corporate lady. Alikuwa anajaribu kufikia juice kwa shelf so nikamsaidia. Tukaanza smalltalk akaniambia she is trying to eat and drink healthy. I almost burst out laughing. How many Kenyans know that the only real fruit juice in yenye unajitengenezea home na blender. Most shit on supermarket shelves is just garbage. So many people, especially women fail to lose weight because they don’t know what they are eating/drinking.

Agreed.

ok

True if you must drink your fruit then blend it whole with all its fibre as nature has already perfectly balanced it.

I was informed here that Juicer extracts fibre from the juice leaving you with a sweeter juice that people like but it now has a lot of calories than the natural fruit.

Just a thought, but si ungemgusia hivyo. Mpe hayo machache umepeana hapa.

sawa

Nilishamwambia. 30 minutes of nutrition advice. I hope nikiwahi muona atakuwa ameachieve goals zake

Watu wakule matunda waache upuzi. Siku utajipata Sahara ndio utajua hizo ndizi wewe hupita hapo kwa mama mboga ni muhimu.

Pia huyo alikuwa single mother?

Dore ino

:D:D:eek:

:D:D:D:D

Hii story inakaa very convenient. Didn’t @samachel treat us to a story like this in his thread called “Comic Love” hapo kwa relationship section jana?

[ATTACH=full]140751[/ATTACH] [ATTACH=full]140752[/ATTACH]

Pwegegegegge plagiarist mwingine :D:D

Hahaaa got noting to add