Hapa jua tu[ATTACH=full]90428[/ATTACH][ATTACH=full]90429[/ATTACH][ATTACH=full]90430[/ATTACH][ATTACH=full]90431[/ATTACH][ATTACH=full]90432[/ATTACH][ATTACH=full]90428[/ATTACH] [ATTACH=full]90429[/ATTACH] =[ATTACH=full]90430[/ATTACH] [ATTACH=full]90431[/ATTACH] [ATTACH=full]90432[/ATTACH] [ATTACH=full]90433[/ATTACH][ATTACH=full]90434[/ATTACH]
Wahhh jua kali huko.Usije kutudanganya umefikisha threshold kukiwa na joto namna hiyo
ulisema unaenda kula @old monk choma. wapi mbisha yake?
Chonyi ya wapi huku? Vipingo?
huyo ni juma kubavu anatembea na kisu
threshold unafikishia ndani ya maji
baobab tree nilionanga tu kwa vitabu za geography
[ATTACH=full]90438[/ATTACH] [ATTACH=full]90439[/ATTACH] [ATTACH=full]90440[/ATTACH]
Huku Ni nyingi. Zinaitwa mbuyu
Ukiingia huko takaungu inaweza buy fish fresh at super throw away price.
Kuja niku import kilifi uone
Gay brigade wako njiani
Nope, but mboco ni @KinduKiega …gia kùria
Mnarani…
Umasikini kweli umekidhiri huko
Walichukua kura hawa wasela?
Na ya next ndio hio ktalk
Bana you can imagine these guys will be chasing us away watu wa bara, wabaki kwa hizi shacks… .siiida tu
Have you noticed how phenomenally Kilifi county has developed? How did you find Mtwapa, Kanamai, Kikambala and Vipingo? That area around Vipingo Ridge and Shariani is slated for even more phenomenal development. There is are upcoming university, an hotel and an affluent residential estate that will change the profile of the area completely!
Prophile ni wewe
Alafu those developments are not by the locals, ask around and know who lives around vipingo ridge, The classy mansions coming up at kanamai,the epz factories,
Hapa the locals have been left with kibarua jobs, kubeba kokoto na bucket Ama kupanda nyasi during landscape, na kupikia watu kwa kibandanski… .anyways acha waendelee kuwika tumbilee na Naswa