1000Mbps connection in Kenya available! Who knew?!

:D:Dpale maseno internet was 8kbps ukibahatika kuipata …shit hole university

Kwani we ni first year?

The fastest speed ever saw in uon ulikuwa pale upper kabete… A small room inaitwa conference
2 GB series took maximum 2mins

Yeah

Haha na ukakuaje elder kwani ulikuanga na simu high school kusoma hekaya’s usiku
Anyway…
Identity hua username yako ya jkuat ie… Student email cut at @students
Alafu pass ni reg no in lowercase… Pia jkuat wireless huwork the same… Then certificates weka isivalidate… Alafu anonymous identity wachana nayo juu haiko hata kwa all devices… Ni kwa android mostly pekee… Then that’s it… Lakini unajua lazima upewe eduroam config from IEET… Alafu speaking of tech house huko si ni kwa wasee wa SCIT si utumie tu etherner cables Kwa IT labs iko better and more consistent speeds than wireless…

I have been through life. That’s all I can say.

Thanks for the info. I’ll try this on Monday.
About using Ethernet cables, sometimes unapata wasee wamehog ports zote ama the labs are being used for lectures and practicals. Wakati kama huo, hizo wireless hotspots husaidia.

Had the same experience hapo JKAT library in August. 5gb torrents were coming down like 5mb files.

VE you have a tech-savvy pseudonym!