@Female Perspective
That guy will have 10 concubines by tomorrow
pia kuna wa 24yrs 41M 16/17 games
That guy has a chance that not many of us might ever get…too much money at once. Kwa 221 million ako na at least 4 good apartment blocks na abaki na change ya 21 million:eek::eek::eek:
I can only imagine the amount of 'Hi, I miss you’re texts on his WhatsApp :D:D:D
The guy deserves that mulla and oskof he expected a call. Wee unadhani alikaza rasa mara kumi na ngapi
Even with 600k in your account unaeza chukua loan through your sacco na upate umoinner yenye ina returns za 15k a day
Kitu moja villagers ningependa kuwaambia…prize money huwa mtu hapewi yote…unaambiwanga utapewa kitu kama a million a month…watu wamesoma economics wataelewa mbona,same reason y money huwa haiprinitiwi ivyo tu na same reason mbona old notes huchomwa na exact amount printed.So in short,life ya uyu kijana haitachange vile.,plus unasigningii non disclosure form huezi chapia wasee
Ya KRA ni lazma. Njiraini hapendi waana.
Now you know. Hiyo pesa si ya mama ya muhindi ni yako plain and simple. Jiulize ‘wakipeana’ 220 m wamenyoa watu mangapi ?
Or probably be long dead before he hits 40.
Wacha hizo Boss.
Ako poa
Ebu tushow!
Wacha ndoto jamaa. Come back to reality. 15k??Over 5 million ukiwa na 600k??Hizi sacco ni gani??
Some items have sentimental value, it is hard to leave them behind.
Ends TE=“M2Random, post: 963767, member: 8819”]Wacha ndoto jamaa. Come back to reality. 15k??Over 5 million ukiwa na 600k??Hizi sacco ni gani??
[/QUOTE]
Enda pale offisi ya umoinner on mutindwa road na you join ukiwa na 600k upewe loan ya 5M
Unaongea kama umewahi kula jackpot ama CEO Wa sportpesa
Mbona hawapewi yote? Si pesa ni yao…you can choose whether unataka lumpsum ama kiasi kiasi. Sioni correlation ya prize money na kuchoma old notes…if you want to mean akipewa pesa yote atacause inflation, 221 million is pocket change…a drop in the ocean haiwes affect economy in any way. Comparing printing money with winning a lottery is comparing apples to oranges jamaa…printing cash is making money from “nothing”…winning a lottery is simply transferring existing money from one person (sportpesa), to another (winner)…the second case cannot affect the economy adversely.
hapa ningeeka kedo a hudred mirrion kwa fixed account at 10% interest rate p.a(spread across banks that can’t go under), 70 mirrion nanunua nyumba za rentals…the rest natafuta Amiran tuone vile tunaeza maliza njaa kenya.