Watu wakiamka kukiwa na giza hua mnaenda wapi hio saa?
Mimi, kupikia watu breakfast na kustraighten nguo za hiyo Siku na kutayarisha myserof for the day , wengine job, wewe kwani unaamkanga SAA ngapi
Asante na wewe pia clean money
Niko leave. Still in bed. Tupatane kasarani
Kwanza tunaenda Ku susu , then shower, then out for biashara.
After 7am. Siwezi toka kitanda kama kuna giza nje.
Umesahau morning glory kabla kususu
Niko tu. Kuoa bado.