Mimi huku nimehamia, hapa nakamilisha taratibu nimiliki kiwanja nijenge kabisa, JF ya Tanzania siiamini kabisa siku hizi…
Hajar
22
Mie pia bado nipo jamaani. Lol
GAZETI
23
Na huku ushakuwa Mzee wa Kijiji unaondokaje?
Hajar
24
Hahahaaa. Ndio hapo sasa.
Mwifwa
28
[i][b]Siku za usoni=siku za mbeleni, siku za hivi karibuni zinazokuja/kukaribia kufika.
Kwa kiingereza sjakosea ni ''coming soon"[/b][/i]
apana ni “in the coming days”,“days to come” ama simply “future”
Murudi kwenu bongo,jamii ipo hewani hukooo
Leo nimeingia huku kwa kutumia application ya KT . hapa sasa pamoja sana
lwiva
32
Tulikuwepo kitambo na bado tutaendelea kuwepo kt