Tayari nishamuita na kashafika
Karibu sana Mkuu
Fanya hivyo mkuu.
Ahsante moderator,
Tunawaomba muweke majukwaa yote kama yaliyokuwa JF,
Majukwaa kama Chit-Chat, Celebrites, na mengineyo bado hamjayaweka
Karibuni huku, mwaweza kuchangia mijadala tofauti inayowapendeza.
Kwa kweli ni jambo la kushuru sana
Wametufariji wakati huu wa majonzi
Sawa mkuu, tutapambana na Kiswahili cha wenyeji wetu ili tuweze kwenda sambamba kwenye mijadala hiyo
Daah…nimefurahi sana aisee. Ngoja nipige tena kelele…woyooo woyooo woyooo
Mkuu nimewafata…
Tangujana nimealika wengi pia, watajua tuu nadhani ndani ya wiki 1 wake zangu Inna, Demiss, Mbitiyaza Miss Natafuta, Miss chaga nk watakuwepo hapa
[/QUOTE]
Usimsahau Ontario,
tumekuwa wakimbizi
Tangujana nimealika wengi pia, watajua tuu nadhani ndani ya wiki 1 wake zangu Inna, Demiss, Mbitiyaza Miss Natafuta, Miss chaga nk watakuwepo hapa
[/QUOTE]
Usimsahau Ontario,
Hahahahaaa
wana mshatia maguu kitambo
Tuna mprove jiwe namna anavyofeli
Safi sana mkuu huwa ananivuta
Supported!
Much respect!
Wooooooooooyyyyooooo
Mlete mbebezi wako basi