Kataa hiyo
Kataa hiyo
Poor planning. And to think all that liquor ended up in a urinal somewhere.
Wapi yule mjamaa wa 30K salo ajionee mambo?
Hii pesa ulitumia vipi?
1 Like
[ATTACH=full]13476[/ATTACH]
Kwani 30K ni mizinga ngapi?Tatu tu? Unless ni za kariobangi light industries.
Wewe ni coomer sana, mzinga ya mkulima mdogo kama mimi ni 3-5k kwa bar. Welcome to my life!
wacha kushika feelings kama mama ako na mimba,Tulia buda how much does Blue Label goes for Mtaani?Ama nakupa halucinations
Hiyo inaitwa mid morning glory
1 Like
Anza Ka-SACCO. hehe.
He was ‘sic’ tipsy…‘hic …cup’.
Inaitwa kut**** pesa… to*** kabisa iishe
1 Like
ponda mali kifo naja
Basi inakaa quail ulinunua na pesa mbaya juu makali ya hio pesa ni yq kulewesha bar mzima na uitwe councillor…
[ATTACH=full]13515[/ATTACH]